Imeelezwa kuwa Mashaka, ambaye pia ni ofisa intelijensia wa hifadhi hiyo, anadaiwa kuwa kinara mkubwa wa ujangili katika hifadhi mbalimbali zilizoko Kanda ya Ziwa kwa kutoa ushirikiano kwa majangili pamoja na kuwaazimisha silaha za kufanyia uhalifu huo.
Hii ni aibu sana, wale tunaowaamini ndio wanaotuangusha. Nashauri sheria za hifadhi za taifa zifanyiwe masahihisho ili watu kama hawa wanyongwe na kufilisiwa.